Kitwanga Atoa ya Moyoni "Inanichekesha Kivuko CHETU Kupelekwa Kenya Kutengenezwa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga amehoji “Sijali kama kivuko chetu (MV Magogoni) kilinunuliwa kwa Tsh. Bilioni 8 na kinaenda kutengenezwa kwa Tsh. Bilioni 7.5 lakini tunashindwaje kukitengeneza sisi Watanzania hadi kupeleka #Kenya?”

Ameongeza “Tuangalie nani yupo nyuma ya huo mpango, inanipa usumbufu wa mawazo. Sikubaliani na uamuzi walioufanya, niwaambieni hata mkitaka kuiba ibeni kisha muwekeze #Tanzania ili Wazawa wapate kazi na siyo kuiba kisha mnapeleka fedha nje ya Nchi.”

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad