Ticker

6/recent/ticker-posts

Maskini Mke wa Dr. Mwaka Apiga Magoti na Kusema "Nipo tayari kumpa kila kitu Dr Mwaka Lakini Nibaki na Amani Yangu"

Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA

Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA

Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA


QUEEN mke wa Dr Mwaka Amepiga magoti na kulia kwa uchungu wakati akihojiwa na kituo cha radio Clouds FM kipicha cha Jahazi na Kusema haya :

"Nipo tayari kumpa kila kitu Dr Mwaka lakini nibaki na amani yangu, nilee watoto wangu, mimi na yeye tumefika mwisho na sio ugomvi, natamani uwe mwisho wenye amani, isifike mahali ananidhalilisha kwenye mitandao, kutengenezeana kesi za polisi na kutishana maisha"

Post a Comment

0 Comments