Aliyekuwa Anang'ang'ania Mahusiano Amuua Mwenzake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Neema Cheyo mkazi wa tarafa ya Bukene wilayani Nzega mkoani Tabora, amepoteza maisha baada ya mzazi mwenzake kumkata na kitu chenye ncha kali kinachodhaniwa kuwa ni panga katika maeneo mbalimbali ya mwili wake.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Tabora ACP Richard Abwao amesema kuwa chanzo cha mauaji hayo ni wivu wa mapenzi kwani mwanaume huyo alikuwa anang'ang'ania kuendelea na mahusiano hao licha ya wao kuachana.


"Tukio hilo limetokea Februari 21, 2023, majira ya saa 2:00 usiku ambapo baada ya kujeruhiwa na mzazi mwenzake alikimbizwa hospitali ya Nzega ambapo hali yake ilikuwa mbaya na alipoteza maisha, chanzo ni wivu wa mapenzi, Neema alikuwa hataki kurudiana na mwanaume wake wa zamani na alimpa lakini nne ili mahusiano yavunjike lakini mwanaume huyo hakuridhika," amesema Kamanda Abwao.


Aidha Kamanda Abwao amesema kwamba mwanaume aliyehusika na mauaji hayo amekamatwa na atafikishwa mahakamani.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad