Bondia Mtanzania Stumai Muki Amchapa Chimwemwe Banda wa Malawi Dar

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Stumai Muki amefanikiwa kumchapa kwa pointi mpinzani wake kutoka Malawi, Chimwemwe Banda katika pambano lisilokuwa la ubingwa la kimataifa ililopigwa kwenye Ukumbi wa Ubungo Plaza, Dar

Katika pambano hilo ambalo limepigwa usiku wa Jumatano ambapo mabondia wengine wa Tanzania walioshinda mapambano ya kimataifa ni Grace Mwakamele aliyemchapa kwa pointi Luckia Ali wa Malawi wakati Zawadi kutaka naye akibonda kwa pointi Mphatso Metaudzu huku Nasra Msami akimmaliza vibaya Chiedza Homakoma kutoka Zimbabwe.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad