Simba Imetuheshimisha Watanzania, Waishushia Kipigo Vipers ya Uganda Michuano ya Club Bingwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Simba Imetuheshimisha Watanzania, Waishushia Kipigo Vipers ya Uganda Michuano ya Club Bingwa

WAWAKILISHI Katika Michuano ya Klabu Bingwa Afrika timu ya Simba SC imejiweka katika mazingira mazuri ya kutinga Robo Fainali ya Michuano hiyo baada ya kuichpa bao 1-0 Vipers Mchezo wa Kundi C uliopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam. 


Wenyeji walipata bao la kwanza dakika ya 45 likifungwa na Clatous Chama akimalizia pasi ya Moses Phiri na kuipeleka Simba mapumziko ikiwa mbele kwa bao 1-0 dhidi ya Vipers. 


Kwa ushindi huo Simba imefikisha Pointi 6 katika nafasi ya pili na kujiweka nafasi nzuri ya kutinga robo baada ya wapinzani wao wa karibu Timu ya Horoya kupoteza mchezo wake dhidi ya Vinara Raja Casablanca wenyeji Pointi 12,Horoya inashika nafasi ya tatu wakiwa na Pointi 4 huku Vipers ikishika mkia wakiwa na Pointi 1. 


Sasa Simba ili iweze kutinga Robo Fainali inahitaji kupata ushindi katika mchezo wake dhidi ya Horoya Mchezo utakaopigwa uwanja wa Benjamin Mkapa Machi 17 au 18 mwaka huu.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad