Ticker

6/recent/ticker-posts

Taifa Stars yaja na jezi mpya ya AFCON 2023

Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Wiki Hii Bonyeza HAPA

Nafasi za Internship Zilizotangazwa Bonyeza HAPA

Matokeo ya Form Four 2022 Bonyeza HAPA



Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imetambulisha jezi mpya kwaajili ya Michuano ya AFCON 2023.



Tanzania Sweetheart @wemasepetu ni miongoni mwa model ambao wametokelezea kwenye picha za jezi hizo.




Uzi huo unauzwa tsh 45,000 katika maduka ambayo TFF wameyatangaza kupitia post zao.

Post a Comment

0 Comments