AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imetambulisha jezi mpya kwaajili ya Michuano ya AFCON 2023.
Tanzania Sweetheart @wemasepetu ni miongoni mwa model ambao wametokelezea kwenye picha za jezi hizo.
Uzi huo unauzwa tsh 45,000 katika maduka ambayo TFF wameyatangaza kupitia post zao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK