AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezo wa Ligi Kuu ya Wanawake Tanzania (Serengeti Lite Women’s Premier League #SLWPL) kati ya Yanga Princes na Simba Queens umemalizika katika Dimba la Uhuru jijini Dar es Salaam kwa timu hizo kutoshana nguvu baada ya kutoa sare ya bao 1-1.
Katika mchezo huo ambao Yanga Princes walikuwa wenyeji, Simba Queens ndiyo walikuwa wa kwanza kupata bao kuinako dakika ya 30 kupitia kwa Jentrix Shikangwa dakika ya 35 ya kipindi cha kwanza, bao lililodumu mpaka kipindi cha pili kabla ya Yanga kusawadhisha dakika ya 75 kupitia kwa Wogu Chioma.
Kwa matokeo hayo, Simba wakiwa na alama 27 wameshuka kutoka nafasi ya kwanza mpaka ya tatu kufuatia ushindi wa Foutain Gate dhidi ya Mkwawa ambapo Fountain wamepanda mpaka nafasi ya kwanza wakifikisha alama 29, na ya pili ikishikwa na JKT wenye alama 28.
Matokeo mengine;
Baobab 0-3 JKT
Mkwawa 0-2 Foutain Gate
Wafungaji;
Priviledge Mupeti
Neema Paul
Msimamo wa Ligi;
Fountain Gate - 29
JKT - 28
Simba Queens - 27
Yanga Princes - 22.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK