Sadio Mane na Msimu Mgumu Kwake Bayern Munchen, Magoli yake Nane Yakataliwa, Adaiwa Kuwa na Gundu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Sadio Mane amekuwa na msimu mgumu tangu ajiunge na Bayern Munchen miezi 12 iliyopita akitokea Liverpool , nyota huyo raia wa Senegal amefunga mabao 7 tu na assist 4 kwenye mechi 22 alizocheza 2022/23

Bahati mbaya zaidi mabao ambayo yamekataliwa ni mengi zaidi ya yaliyokubaliwa

Yamekubaliwa 7 ⚽
Yamekataliwa 8 🚫
Assist 4
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad