AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mara nyingine tena Zanzibar Finest Feisal Salum ‘Feitoto’ ameshindwa kutoboa kwenye shauri lake la kutaka kuvunja makataba wake na klabu ya Yanga!
Taarifa rasmi ya TFF inasema, baada ya kupitia na kutafakari kwa kina hija zote za pande husika, Kamati imetupilia mbali maombi hayo kwa msingi kwamba, ilishaamua juu ya uhalali wa Mkataba wa Feisal na klabu yake kwamba ana mkataba mpaka 2024.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK