Fei Toto Akwama Tena, TFF Wasema Bado Ana Mkataba na Yanga

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwa mara nyingine tena Zanzibar Finest Feisal Salum ‘Feitoto’ ameshindwa kutoboa kwenye shauri lake la kutaka kuvunja makataba wake na klabu ya Yanga!

Taarifa rasmi ya TFF inasema, baada ya kupitia na kutafakari kwa kina hija zote za pande husika, Kamati imetupilia mbali maombi hayo kwa msingi kwamba, ilishaamua juu ya uhalali wa Mkataba wa Feisal na klabu yake kwamba ana mkataba mpaka 2024.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad