AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Charles III mwenye (74), sasa ni mfalme wa Uingereza akichukua nafasi ya mama yake malkia Elizabeth II aliyefariki mwaka jana, halfa ambayo imefanyika kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1953.
Hafla hiyo ambayo imefanyika katika kanisa la Anglikan la Westminster Abbey, imehudhuria na watu maarufu nje na ndani ya Uingereza ikiongozwa na askofu mkuu wa CanterburyJustin Welby.
Mbali na waliohudhuria, pia Mamilioni ya watu duniani walifuatilia sherehe hizo kwa njia ya mitandao, wakishuhudia matukio mbalimbali yaliyojumuisha tamaduni, dini na matamasha.
Sherehe rasmi ziliaanza kwa msafara kutoka Buckingham Palace hadi Westminster Abbey huku maeneo ya kutazama tukio hilo yakiwa kwenye njia iliyofunguliwa saa kumi na mbili asubuhi kwa saa za Uingereza.
Miongoni mwa walioalikwa walikuwa ni washirika wa familia ya Kifalme, waziri mkuu, wawakilishi kutoka mabunge, wakuu wa nchi, na washiriki wengine wa familia ya kifalme kutoka kote ulimwenguni.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK