AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bado staa wa Muziki Harmonize ameendelea kutilia mkazo kuwa Staa wa Muziki na Mwanasiasa kutoka Nchini Kenya Jaguar hana pesa na sio kijana mdogo kama anavyojiita.
Mbali na hivyo Harmonize ameweka wazi kuwa ili umpate kwenye Show inabidi uwe na USD 100K (Tsh.Milioni 236).
Kupitia ukurasa wake wa Instagram (Instastory) Harmonize ameshare Clip ya mahojiano ya Jaguar ambayo alikuwa akisema kuwa Harmonize inabidi afanye juhudi zaidi ili amfikie na afike mbali kwenye Muziki na kumwambia kuwa baada ya Tour yake ya Afrika basi Jaguar hatojitapa tena kuwa ana pesa kuliko Konde Boy.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK