AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa zinaeleza kuwa Harmonize anatarajia kwenda nchini Rwanda kwa ajili ya kumchumbia mpenzi wake, Phiona.
Akizungumza kwenye uzinduzi wa reality show ya Kajala na Pauka iliyofanyika usiku wa kuamkia leo Mei 11, 2023, MC Gara B alianza kwa kueleza kuwa alikuwa surprise kuonekana kwenye show hiyo lakini pia amefurahi kwani Harmonize hana tatizo naye.
"Nimeonekana kwenye hii reality show siku ya engagement ya Kajala, lakini uzuri ni kwamba nilikuwepo kwenye maisha ya Kajala na Harmonize lakini hata walipoachana abado nipo.
"Hivi tunavyoongea, Harmonize ameniambia nijiandae kwenda Kigali kwenye shughuli ya mchumba wake," alisema Gara B
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK