AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Anasema Jemedari Saidi ✍️
"Mimi nikafanye nini sasa Algeria ?! Wanajaribu kubadilisha AGENDA, Agenda iliyopo ni Yanga kupoteza fainali ya kwanza dhidi ya SM Alger"
"Baadhi ya watu wa Yanga wanachuki na mimi kwa sababu huwa siwasifii. Sasa kama watu wengi wanawasifia mimi peke yangu ndio siwasifii wanachukia nini ?"
"Wanajua wanawapa nini hao wanaowasifia ndio maana wanataka na mimi niwasifie ili kutengeneza uhalali"
Maneno ya Mchambuzi Jemedari Said Kazumari wa Efm Tanzania
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK