Lemutuz Afariki Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamtandao maarufu Nchini Tanzania William Malecela maarufu kama ‘LeMutuz’ ambaye pia ni Mmiliki wa Online TV ya LeMutuz amefariki dunia leo Jijini Dar es salaam.

Taarifa za kifo cha LeMutuz ambaye ni Mtoto wa Waziri Mkuu wa zamani wa Tanzania John Malecela zimethibitishwa na Ofisi yake pamoja na baadhi ya Ndugu zake.

Mmoja wa Ndugu hao ameiambia @AyoTV_ kuwa wanasubiri taarifa rasmi ya familia ili Vyombo vya habari vipewe taarifa kamili juu ya kifo hicho cha Rafiki wa wengi Ndugu LeMutuz. #RIPLEMUTUZ
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad