AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu ametoa maelezo kwenye mitandao yake ya Kijamii kuhusu tetesi za uwepo wa COVID-19 nchini Tanzania, ameandika;
“Kuhusu tetesi za uwepo wa #COVID19; Nawaomba wananchi muondoe hofu. Tunachakata taarifa tulizokusanywa kutoka Hospitali/Vituo mbalimbali ndani ya wiki hii...tutatoa taarifa kama kuna ongezeko la magonjwa ya mfumo wa hewa au la??
Kwa taarifa za wagonjwa waliopimwa virusi vya UVIKO-19 wiki tarehe 6 - 12 Mei 2023 Watu 6 kati ya 288 walithibitishwa kuwa na corona. Hii ikiwa ni pungufu ikilinganishwa na wiki ya tarehe 29/04/23 hadi 05/05/23. Hakuna kifo chochote kilicho thibitishwa kusababishwa na UVIKO-19. Wizara @wizara_afyatz inaendelea kufuatilia kwa karibu kwenye hospitali mbalimbali na tutawapa taarifa kamili. Nawaomba wananchi muendelee kuzingatia kanuni za Afya na Usafi.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK