AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
The Kid You Know Marioo amuomba msanii mwenzake (@mbosso_) kumaliza tofauti zao baada ya hivi karibuni zilitembea tetesi kuhusu maneno yanayoendelea mtandaoni kwa sasa hawana maelewano mazuri kama mwanzo.
Mbosso alizungumza na kudai akikutana na Marioo wanazungumza vizuri ila kwenye mahojiano anamzungumzia vibaya.
Marioo ametumia insta story na kusema kuwa hawana sababu ya kugombana na kama kuna chochote kimetokea sio kizuri wasimkaribishe shetani wasameheane.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK