Kila Mwanaume Ninayempata Ana Fedha Nyingi, Tatizo Siolewi!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Ni jambo la ajabu sana pale mwanamke anapomaliza mwezi mzima hajapata mwanaume yoyote aliyemtongoza, mwanamke kutongozwa ni jambo zuri, mwenyewe anajikubali kuwa yeye ni mzuri ila usipotongozwa anajua hana mvuto. 

Nasema hivyo kwa sababu sisi kina mama kabla hatujatoka ndani ni lazima tujitazame kwenye kioo, ila siyo kila anayekutongoza unamkubalia ila kutongozwa ni jambo muhimu kwetu kina mama.

Hata hivyo, wanaume wanapenda tupendeze kila tukikutana nao, ndio maana sisi wanawake huwa tunapenda kubadilisha nywele, nguo na vitu vingine kwa ajili ya kuwa na muonekano mzuri kwa wanaume, hamna kingine zaidi ya hapo.

Jina langu ni Jackline mkazi wa Mbagala, umri wangu ni miaka 30, nafanya kazi katika soko la Kariakoo, hivyo kila siku ni lazima nipande Daladala za kutoka Mbagala kuelekea kazini kwangu na kisha jioni kupanda tena kurudi nyumbani, ndio maisha yangu yanavyokwenda. 

Tangu nikiwa na miaka 18 wanaume ambao wananihitaji kimahusiano ni matajiri tu, mwanzo kabisa nilianza kwa kuogopa ila ikafika hatua nikazoea. 

Kitendo cha kupendana na watu wenye fedha kimenifanya nionekane nami nina fedha kutokana na matumizi yangu ya siku hali ya kuwa sina fedha, ndio ukweli wake huo.

Jambo ambalo lilikuwa kitendawili katika maisha yangu ni kupendwa na matajiri lakini hakuna ambaye alikuwa tayari kunioa, mwanzo sikujali ila nilipofikisha miaka 28 nikajiuliza maisha gani haya, sawa ninapata kila kitu ila sio mume, tayari nina watoto watatu ila kila mmoja na baba yake. 

Wanaume ambao nimezaa nao watoto watatu wananipa kila kitu, kwa ufupi kila mwanaume anahudumia mtoto wake bila shida yoyote ila ninavyotazama kwa undani zaidi najiuliza maisha gani nawaandalia watoto wangu. Jamii inanichukuliaje kuhusu hili jambo japo jamii hainilishi wala kuinivalishi ila siyo malezi niliyopata kutoka kwa wazazi wangu.

Siku moja niliaamua kwenda club ambayo ipo karibu na ninapoishi kwa ajili ya kubadilisha mazingira, nilipofika club nilitafuta sehemu iliyotulia kisha nikaagiza kinywaji baridi. Muhudumu alipoleta vinywaji akaniambia kuna mtu bili yangu, nilishutuka kisha nikamuuliza anaitwa nani akasema atakuja.

Haikupita dakika 10 alikuja mwanaume akasimama mbele yangu kisha akaniomba nimruhusu akae, nilipomruhusu akajitambulisha kuwa anaitwa Mr. Francis  na mimi nikajitambulisha kwake kuwa naitwa Jackline.

Kisha tukaendelea kunywa, huku tukipiga stori taratibu ndipo akaniambia kuwa ana watoto wawili mke wake alimuachia, hivyo hana mke pia mimi nikamwambia kuwa nipo na watoto watatu ila sina mwanaume wa ndoa.

Katika mazungumzo naye niligundua kuwa yeye ndiye mwenye Club ile, tulibadilishana namba kisha nikarudi nyumbani muda wa saa tano usiku.

Kesho yake asubuhi alinipigia simu kunijulia hali kisha akaniomba tukutane hiyo siku kwa ajili ya chakula cha mchana, kwa kuwa hata mimi nilikuwa nimemisi sana kampani, nilimkubalia kisha kanieleza wapi tutakutana. 

Nakumbuka tulikutana maeneo ya Sinza kijiweni, nilipofika pale alinipeleka Hotelini na kunionyesha vitu mbalimbali, kumbe ile Hoteli ni ya kwake pia, basi hatimaye mahusiano yetu yakaanza. 

Mahusiano yetu yalifanya watoto wangu na wake kujuana na kuwa ndugu zaidi, watoto wangu walimpenda sana haswa jinsi alivyokuwa anawajali ila mimi kila muda nilikuwa naomba asije niacha kutokana na furaha ya watoto wangu aliyokuwa nayo tangu wamjue Mr. Francis.

Baada ya miezi sita nilipata ujauzito, ila Mr. Francis akabadilika ghafla na kuniambia kuwa yupo tayari kulea ile mimba hadi mtoto atakayezaliwa ila hayupo tayari kuishi na mwanamke kwa muda huo. Baada ya hayo maneno, nilianza kulia mwenyewe na kujuta kwa nini nimempigia simu na kumpa habari za mimba.

Siku iliyofuata nilimpigia rafiki yangu yupo Kimara kisha nikamueleza juu ya maneno ya Mr. Francis hapo ndipo rafiki yangu akanitumia namba hii  +254 769 404965, kisha akaniambia niwasiliane na African Doctors ambaye ana uwezo wa kunisaidia kwa muda mfupi sana. 

Niliwasiliana na African Doctors, nikamueleza shida yangu na kumwambia namuhitaji Mr. Francis kwa sababu sipo tayari kurudi kama nilivyokuwa mwanzo, ndipo African Doctors akanihakikishia Mr. Francis ni wangu na kweli amekuwa wangu hadi tumefunga ndoa.

Kumbuka African Doctors wanatoa huduma mbalimbali kama kumuwezesha mwanamke kubeba ujauzito, mtu kupata kazi, kupandishwa cheo kazini, pia wanatibu magonjwa sugu kama Sukari, Pressure n.k. 

Wasiliana na African Doctors kwa namba; +254 769 404965, tembelea tovuti yao; www.african-doctors.com au watumie email; africandoctorheals@gmail.com.

Mwisho. 


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad