AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrembo anae trend kua kwenye penzi na msanii @diamondplatnumz kumbe alifanya surgery tumepata picha yake ya zamani hata hakua na shape kama aliyonayo sasa, Mrembo huyo ana trend baada ya kukalia kiti cha zari kwenye reality show ya #youngfamousandafrican season two ambapo anaonekana wako na mahusiano na Diamond na kuna kipande wali kiss.
Mapema leo mtangaji Diva ametamani kuwa kama Fantana na kusema kumbe inawezekana na yeye akawa na tumbo dogo na shape flani hivi
Una maoni gani kuhusu shape za surgery?
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK