AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia ukurasa wake wa Instagram PAULA ambae ni reality TV star ameonekana kujipongeza kwa kufanikisha kununua gari aina ya VanGuard ambayo ametutajia ina thamani ya shilingi milioni 45
Na ameenda mbali zaidi kwa kusema anajivunia kwakuwa hiyo ni hela yake mwenyewe ikiyotokana na kazi yake
Tukumbuke kuwa Gari ya kwanza ya mwanadada Paula ni Crown ambayo alinunuliwa na Mama yake mzazi, hivyo hii ni gari ya pili kumiliki huku ikiwa ya kwanza kununua mwenyewe kwa Pesa yake
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK