Simba Watambulisha Kifaa Kipya Msimbazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Klabu ya Simba SC leo Mei 25, 2023, imemteua Raia wa Uholanzi Mels Daalder kuwa Skauti Mkuu wa timu.

Mels ameshiriki kozi mbalimbali za scouting duniani ikiwa ni pamoja na kozi zinazoendeshwa na Skauti wa zamani wa Manchester United, David Hobson.

Mels ambaye ameshawahi kuishi Tanzania, ni shabiki mkubwa wa Simba pia ni mjuzi wa kufanya upembuzi (analysis) na ana ujuzi na ufahamu mkubwa wa Ligi ya Tanzania, Afrika Mashariki na Afrika.

Mels anaongea lugha kadhaa ikiwemo, Kiholanzi, Kiingereza, Kijerumani, Kifaransa na Kiswahili kwa kiasi fulani.


Akizungumzia uteuzi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa Simba SC, Iman Kujula amesema; "Tuna furaha kubwa kumkaribisha Mels ili kuja kuboresha ufanisi kwenye scouting kwani ni eneo muhimu sana kwenye mafanikio ya klabu yetu. Tunaendelea na maboresho muhimu kuelekea msimu mpya wa ligi na mashindano ya kimataifa."
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad