AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
TAARIFA: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amemteua Bw. Moremi Marwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA).
Bw. Marwa ni Mtendaji Mkuu wa Shirika la Uzalishaji Mali la Magereza (SHIMA). Uteuzi huu umeanza tarehe 14 Mei, 2023.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK