AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Timu ya Simba |
Tofauti na huku Yanga, Pamoja na Marumo kuwa hoi kwenye ligi ya kwao, hatukuwadharau na tulijua wanafanya vizuri kwenye Kombe la Shirikisho,Tulijua wanacheza ligi bora, tukaendelea kuwaheshimu hata baada ya kuwafunga mechi ya kwanza Dar, ugenini tukaja na plan ya kucheza Kwa kuwaheshimu na kutumia counter attack, mwishoe tukatoboa.
Mentalities za kujiona wakubwa na bora ndio zimefanya Makolo always waishie Robo fainali, imagine unaenda kucheza na Kaizer unajiona wewe mkubwa zaidi yake, Huku kwa Wananchi hakuna hivyo vitu, huku tunajua ili uwe mkubwa ni lazma ushinde mataji makubwa,sio kuishia Robo Robo kila Siku.
@wasafifm @georgeambangile @hansrafael14
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK