Wema Sepeytu "Niliyopitia ingekuwa mwingine angekufa"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Wema Sepeytu "Niliyopitia ingekuwa mwingine angekufa"

Mrembo Wema Sepetu ameweka wazi kuwa, tangu alipotangazwa kuwa Miss Tanzania na kuuvaa umaarufu mpaka leo, amekutana na changamoto nyingi sana.


Wema amesema, watu wanaweza kumuona kama si mtu wa kuvumilia mambo lakini ukweli ni kwamba amebeba mengi na kuyavuka.


"Kuanzia 2006 hadi Leo bado nipo. Nasemwa kwa Mabaya, mazuri machache. Nimeweza kuwa na ujasiri. Watu wanafikiria Mimi nipo very soft lakini Mimi nipo very strong. Ingekuwa ni mtu mwingine kwa niliyoyapitia angekuwa ameshakufa. Inafikia kipindi kuna maamuzi mabaya nataka kuyafanya lakini nafsi inaniambia 'No Wema' kuna sauti inaniambia hapana," alisema Wema alipokuwa Clouds TV leo Mei 23, 2023.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad