BREAKING News: Feisal Tayari Kasign Mkataba na Azam Kapewa Jezi Namba 6

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Feisal Tayari Kasign Mkataba na Azam Kapewa Jezi Namba 6
Fei toto Mkataba Azam

Wakati Club ya Yanga SC ikitangaza kupokea ofa ya Azam FC na kuthibitisha kumuuza Mchezaji huyo baada ya makubaliano ya pande zote mbili, Feisal tayari amesaini mkataba na Azam FC.

Feisal ameonekana akisaini mkataba wake mpya mbele ya Viongozi wa Club hiyo katika tukio ambalo limerushwa LIVE kupitia AzamTV.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad