AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Don Dingoo @whozu_ (Chibaba) ametusanua kuwa moja ya shida ya mpenzi wake @wemasepetu (Chimama) ni kupenda kukasirika juu ya vitu vidogo kama ndio mahusiano yake ya kwanza.
"Jamani huyu bi mkubwa @wemasepetu Shida ni yake moja tu, Anapenda sana kupanic vitu vidogo Utasema haya ndo mahusiano yake ya kwanza ku date, haya umeshinda mama nifanye unachoweza basi".
Whozu amefunguka hayo baada ya kumtumia Wema Sepetu kama 'Video Queen' kwenye ngoma yake mpya ya Umeyatimba.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK