Yanga Hawakupashwa Kumuachia Fei Toto, Aziz K Ameshindwa Kuzipa Pengo Lake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Anasema @alexngereza._, Mchambuzi wa Tv3 Tanzania ✍️

"Kwa vilabu ambavyo vinajua kuheshimu thamani za wachezaji wao inakuwa ni ngumu sana kumuachia mchezaji muhimu kama feisal kuondoka kirahisi hivi lazima wangepandisha thamani yake kwa kumpa mkataba mnono kuliko hata hawa wachezaji wa kigeni"

"Lakini cha kushangaza Yanga wamewapa thamani kubwa wachezaji kama Stephanie Azizi ki ambao hawawezi kuziba hata pengo la feisal mpaka sasa"

"Yanga wanapaswa kujitazama upya ni aibu kwa timu kubwa kama hii inaachia wachezaji bora wanaondoka kirahisi kwa kutengeneza mikataba ambayo inalega lega"
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad