AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Kwa vilabu ambavyo vinajua kuheshimu thamani za wachezaji wao inakuwa ni ngumu sana kumuachia mchezaji muhimu kama feisal kuondoka kirahisi hivi lazima wangepandisha thamani yake kwa kumpa mkataba mnono kuliko hata hawa wachezaji wa kigeni"
"Lakini cha kushangaza Yanga wamewapa thamani kubwa wachezaji kama Stephanie Azizi ki ambao hawawezi kuziba hata pengo la feisal mpaka sasa"
"Yanga wanapaswa kujitazama upya ni aibu kwa timu kubwa kama hii inaachia wachezaji bora wanaondoka kirahisi kwa kutengeneza mikataba ambayo inalega lega"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK