AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Meneja wa supastaa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz ambaye ni Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki, Hamisi Taletale 'Babutale' amemfungulia njia kijana mwenye kipaji 'Founder TZ' ambaye ameonyesha uwezo wake mkubwa wa kuimba kupitia mitandao ya kijamii.
Mdau huyo mkubwa wa muziki ameshare video ya msanii huyo na kuandika; “Nimependa huyu dogo anavyoimba na kwakua tumeumbwa kuwainua wenzetu basi kwenye hii Wasafi Festiva.
"Pia ningependa kuona hi nyota ikiendelea kuwaka. Haya kwa anayemfaham huyu kilana aniletee kwene ofisi za wasafi. Nataka nimpe ofa ya Video na audio ili atimize ndoto zake. #theblackgodfather,” amesema Tale.
Kauli hiyo ni kama sheria na njia, kwani mdau huyo mkubwa wa muziki nchini Tanzania amewahi kufanya hivyo kwa wasanii wengi wachanga wa nje ya WCB na wakatoboa
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK