AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kikosi Cha Simba kinatarajia kuingia uwanjani kesho dhidi ya Mtibwa sugar, mkoani morogoro uwanja wa Manungu Complex.
Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa majira ya saa 10:00 Jioni
Klabu ya Mtibwa Sugar imethibitisha kuwa mchezo wa ligi kuu dhidi ya Simba utapigwa Uwanja wa Manungu, Turiani
Awali kulingana na taarifa iliyokuwa imetolewa na Mkuu wa mkoani wa Morogoro Mh Adam Malima, jitihada zilikuwa zikifanyika mchezo huo uhamishiwe uwanja wa Jamhuri
Mchezo utapigwa kesho Alhamisi, August 17 majira ya saa 10 jioni
Simba itakwenda huko kwenye mashamba ya miwa ikiwa na kumbukumbu ya ushindi wa mabao 3-0 katika mchezo wa mwisho uliopigwa msimu uliopita
Jean Baleke alifunga hat-trik na kuondoka na mpira katika mchezo huo ambao Simba ilitumia dakika 45 tu kuiangamiza Mtibwa
Meneja wa Habari na Mawasiliano klabu ya Simba Ahmed Ally ametamba kuwa msimu huu watahakikisha wanaondoka na alama tatu katika kila mchezo
"Tunahitaji alama tatu kwenye kila mchezo ili tutimize malengo yetu ya kutwaa ubingwa mapema," alisema
MATOKEO
FULL TIME: SIMBA 4:2 MTIMBWA SUGAR
Goals Simba
Baleke
Onana
Ngoma x2
Goals Mtibwa
M. Anthony x2
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK