AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Matokeo Yanga vs ASAS Leo 26 August 2023
Siku ya kesho Yanga watashuka dimbani Tena kuvaana na Asas Fc katika mchezo wa pili CAF
CHAMPIONS league hatua ya awali.
Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi amesema vijana wake wako tayari kwa mchezo wa mkondo wa pili ligi ya mabingwa barani Afrika hatua ya awali dhidi ya Asas Fc
Mechi ya kwanza Yanga iliibuka na ushindi wa goli 2-0 katika uwanja wa Azam complex chamazi ambapo kiitifaki Yanga walikuwa wageni kwa ASAS FC.
Mechi itapigwa majira ya saa kumi na moja jioni 17;00
MATOKEO YANGA Vs ASAS
YANGA 5:1 ASAS
Wafungaji
Mzize
Max 2 Goals
Konkoni
Pacome
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK