Mchezo wa Azam na Kitayosce FC Wavunjika Licha ya Azam Kushinda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mchezo wa Azam na Kitayosce FC Wavunjika Licha ya Azam Kushinda

Mchezo wa Azam FC dhidi ya Kitayosce FC ya Tabora umemalizika kwa Azam FC kupata ushindi wa magoli 4-0, huku mchezo huo ukivunjika dakika ya 27 ya kipindi cha kwanza.

Kitayosce waliokuwa Wageni wa Azam FC katika uwanja wa Azam Complex, walianza mchezo huo kwa kuwa Wachezaji wanane uwanjani huku Azam FC wakiwa 11.

Wakati mchezo unaendelea golikipa wa Kitayosce na Mchezaji mmoja wa ndani aliumia hivyo mchezo ukashindwa kuendelea dakika ya 27 kutokana na kubaki 6 uwanjani na kanuni zinaruhusu mechi kuendelea endapo timu moja itakuwa na wachezaji kuanzia saba.

Hivyo kutokana na mchezo huo kuvunjika Azam FC anapata ushindi wa point 3 na magoli manne (Feitoto 3’ 9’ 13’ Dube 5’).
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad