Juma Nature Aanika Kilichomkimbiza Kupafomu Wasafi Festival

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Juma Nature Aanika Kilichomkimbiza Kupafomu Wasafi Festival

Mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva Juma Nature hajataka kuuma uma maneno na ameamua kuweka wazi kwanini hakutumbuiza kwenye Tamasha la Wasafi Festival mjini Mtwara Wikiendi iliyopita hii ni baada ya shabiki kuuliza kwanini hakumuona wakati alitangazwa kwenye orodha ya wasanii watakaotumbuiza ambapo mazungumzo yao kwenye Uwanja wa Comments yalikuwa hivi


Shabiki: Kirobotoo Jana mbona sijakudele wasafi na walikutangaza?


Juma Nature: Nafanyaje show kwa laki tano mzee sidharau hizo


Ni wazi kuwa huenda Wasafi walipanga kumlipa Tsh Laki tano hii ikamfanya Nature asusie kutumbuiza shoo hiyo kwa kuona ni kiwango kidogo kulinganisha na hadhi yake na uthamani wake kwenye historia ya kiwanda cha Bongo Fleva.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad