AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva Juma Nature hajataka kuuma uma maneno na ameamua kuweka wazi kwanini hakutumbuiza kwenye Tamasha la Wasafi Festival mjini Mtwara Wikiendi iliyopita hii ni baada ya shabiki kuuliza kwanini hakumuona wakati alitangazwa kwenye orodha ya wasanii watakaotumbuiza ambapo mazungumzo yao kwenye Uwanja wa Comments yalikuwa hivi
Shabiki: Kirobotoo Jana mbona sijakudele wasafi na walikutangaza?
Juma Nature: Nafanyaje show kwa laki tano mzee sidharau hizo
Ni wazi kuwa huenda Wasafi walipanga kumlipa Tsh Laki tano hii ikamfanya Nature asusie kutumbuiza shoo hiyo kwa kuona ni kiwango kidogo kulinganisha na hadhi yake na uthamani wake kwenye historia ya kiwanda cha Bongo Fleva.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK