AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Polisi Mkoa Njombe limefanikiwa kuwakamata majambazi watatu, baada ya kuwajeruhi kwa kuwapiga risasi, walipokuwa wakijaribu kuvamia kituo cha mafuta cha ORYX, kilichopo Mtaa wa Mjimwema, Mjini Njombe, jirani na kituo kikuu Cha mabasi Cha Mkoa wa Njombe.
Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoani humo John Imori, amesema waliamua kuwapiga risasi majambazi hao, baada yakukataa kutii amri halali ya Jeshi hilo, iliyowataka walale chini.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK