AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama Kuu chini ya Jaji Mgeta, imeamuru Kampuni ya Kubeti kumlipa mchezaji wa Klabu ya Simba SC na timu ya Taifa ya Tanzania John Bocco Fedha za Kitanzania kiasi cha Shilingi Milion 200, baada ya Kampuni hiyo kutumia picha ya mchezaji huyo katika matangazo yao.
Tazama hukumu hapa chini;
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK