Mwanamuzi Nay wa Mitego Atuhumiwa Kwa Uchochezi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mwanamuzi Nay wa Mitego Atuhumiwa Kwa Uchochezi

 Mwanamuzi Nay wa Mitego Atuhumiwa Kwa Uchochezi

Baada ya taarifa kusambaa zikimhusisha Msanii nguli wa Hip Hop Bongo, Emmanuel Elibariki maarufu kama 'Nay wa Mitego' kufunguliwa madai ya Uchochezi, Wakili wake, Jebra Kambole amethibitisha hilo.


Kambole amesema kuwa Mteja wake alipata wito wa Jeshi la Polisi Kituo cha Kati-Dar kwa tuhuma za uchochezi kupitia baadhi ya mashairi ya wimbo wake wa 'Amkeni'.


Kuhusu madai ya Nay wa Mitego kuzuiwa na #BASATA kufanya matamasha, Jebra amesema hakuna taarifa rasmi kutoka BASATA, japokuwa BASATA walikuwa wakiwasiliana na Maofisa Utamaduni wa Mikoa ambao ndio walimnyima Mteja wake vibali.


Pia, Jebra amesema BASATA imempa Nay wa Mitego wito wa kwenda Ofisini kwao bila Mwanasheria Septemba 8, 2023.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad