AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tunakutana na Algeria ambayo tayari imeshafuzu kucheza Fainali za AFCON nchini Ivory Coast, sisi [Tanzania] bado tunapambana kutafuta walau alama moja ambayo itatuvusha kwenda kwenye Fainali za AFCON.
Ukiangalia ubora wa Algeria na Tanzania wenzetu wapo mbali sana, wakati sisi tunapambana kufuzu wao wanaweka mipango ni namna gani wataweza kufanya vizuri na kushinda ubingwa wenyewe.
Kitu pekee kitakachotufanya tufanikiwe leo ni mipango na mbinu za Kocha [Adel Amrouche] kwa sababu ukiangalia ubora wa mchezaji mmoja mmoja na ubora wa timu wenzetu wapo mbali sana.
Kwa hiyo kitu cha msingi kwa Kocha kuangalia ni aina gani ya mbinu za kutumia ili kupata tunachokitaka.
- Master Tindwa, Mchambuzi Clouds Media.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK