AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
WhatsApp wanakuja na toleo jipya la kutumia namba mbili (account) kwenye WhatsApp moja. Kama ilivyo kwa mitandao mingine kuweza ku-add account.
Hivi karibuni Kampuni ya #META inayomiliki mitandao ya Whatsapp, Instagram na Facebook, wamekuwa wakifanya maboresho mapya (updates) katika mtandao wa WhatsApp.
Kwa mujibu #WabetaInfo inaeleza kuwa sasa huduma hii inatolewa kwa watumiaji wa #WhatsApp BETA, yaani watumiaji ambao wanapata nafasi ya kujaribu matoleo mapya kabla ya kuachiwa kwa watumiaji wote.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK