Bosi Wa Tanapa Mwakilema Ateuliwa Kumrithi Jokate Wilaya Ya Korogwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bosi Wa Tanapa Mwakilema Ateuliwa Kumrithi Jokate Wilaya Ya Korogwe

Aliyekuwa Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), William Simon Mwakilema.

Rais Samia Hassan leo Oktoba 3, 2023 amemteua William Simon Mwakilema, Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kuwa Mkuu wa Wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga.


Mwakilema anachukua nafasi ya Jokate Mwegelo ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT)


Mwegelo ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT).

Aidha, Elibariki Bajuta, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro ameteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora badala ya Kenan Laban Kihongosi ambaye amehamishiwa Momba.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad