BREAKING: Serikali Yatangaza Mtanzania wa Kwanza Kufariki Israel Baada Kutekwa na Hamas

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Serikali ya Tanzania imetangaza kifo cha Clemence Felix Mtenga, mmoja kati ya wanafunzi wawili kutoka Tanzania aliyedaiwa kutekwa na Kundi la Hamas kwenye mgogoro unaoendelea huko Gaza.

Katika taarifa iliyotolewa jioni hii na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, familia ya kijana huyo tayari imepewa taarifa hizo.

Marehemu Clemence alikuwa ni miongoni mwa vijana wa kitanzania wapatao 260 waliokwenda nchini Israel kushiriki mafunzo ya kilimo cha kisasa kwa vitendo chini ya Mpango wa Ushirikiano kati ya Serikali na Israel.

Kwa sasa, wizara tayari imeanza taratibu za kuurejesha mwili wa marehemu Clemence nchini huku mwanafunzi mwingine, Joshua Mollel ambaye naye alipotea Serikali ya Israel inaendelea na jitihada za kumtafuta kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad