Habari Mbaya, Mmoja Afariki Dunia Ajali ya Msanii Chino Kidd

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Nabeer ambaye alikuwa ni Dereva wa gari lililombeba mwanamuziki @chino_kidd7 na wenzake amefariki dunia

Nabeel amefariki dunia Alfajiri ya leo kutokana na majeraha aliyoyapata kwenye ajali hiyo siku ya jana

Ameandika ..✍️.. Producer Abba kuhusu kifo cha 'Nabeel' aliyekuwa dereva kwenye safari hio ya kuelekea moshi kwenye show,

 @abbah_process , 'Rest in Peace brother,Tumepoteza Mwanafamilia Mmoja Aliyekua kweye Ajali ya jana, May God embrace him in his loving arms and grant him

#RiPNabeel

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad