AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha Robertinho Aguna Baada ya Bao TANO na Kuamua Kuwapongeza Yanga Kwa Mziki Waliochezeshwa
Kocha Mkuu wa Simba SC, Roberto Oliviera 'Robertinho' amewapongeza wapinzani wao wa jadi Yanga SC kwa kushinda dabi waliyoipiga jana Novemba 5, 2023 na kuibuka na ushindi wa 5-1.
Akizungumzia mchezo huo mara baada ya kumalizika kwa Simba kupoteza kwa kichapo hicho kizito, Robertinho amesema, wachezaji wake kipindi cha kwanza walicheza vizuri lakini kipindi cha pili walikuwa wanaacha nafasi kubwa kwa mpinzani.
"Walikaa nyuma sana na kutoa nafasi kwa mpinzani kufunga magoli mawili haraka lakini kimsingi niwaponmgeze wapinzani, wamecheza vizuri kipindi cha pili na kushinda dabi," alisema Robertinho.
SOMA PIA: Ahmedy Ally wa Simba Akiri 'Tumehadhibiwa Mpizani Katuzidi'
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK