AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mbunge wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku 'Musukuma' ameibua bungeni tena hoja ya kilimo cha bangi akisema kuwa Hanoi haja ya kuizuia badala yake watumiaji wangedhibitiwa kwa kuwa zao hilo ni chanzo cha mapato huku akitolea mfano nchi nyingine zinazonufaika nalo ikiwemo Canada, Colombia.
Musukuma ametoa hoja hiyo bungeni Dodoma leo Alhamisi Novemba 09, 2023 alipokuwa akichangia ambapo amesema kuwa hashabikii bangi ya kuvuta.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK