AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kumekuwa na malalamiko mara kwa mara kutoka kwa baadhi ya mashabiki na wadau wa soka nchini kuhusu Wachezaji wa Simba kudaiwa kuwa hawajitumi uwanjani ukilinganisha na wale wa Yanga.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Klabu ya Simba, Salim Abdallah ‘Try Again’ amethibitisha kuwa wapo wachezaji ambao watapoteza nafasi zao.
Try Again amesema hayo kupitia Azam tv kuwa wachezaji ambao hawataonesha walichonacho basi ule msemo maarufu wa ‘Thank You’ utawahusu.
”Tutafanya marekebisho kwenye timu yetu, kuna wachezaji ambao watapoteza nafasi zao, Simba haiwezi kukaa na kusubiri inahitaji mafanikio, kwa wale ambao hawataonesha walichonacho Thank You itawahusu. Hatuna sababu ya kuwa na wachezaji ambao wanalipwa vizuri halafu wanakaa Benchi.”
Huwenda dirisha dogo lijalo la usajili tukashuhudia baadhi ya wachezaji wenye majina makubwa wakaachwa Msimbazi.
Je, Simba wafanye nini kurudi kwenye ubora wao wa ‘Pira Biriani’.?
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK