Rais Samia Amwaga Mabilioni Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Rais Samia Amwaga Mabilioni Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM)

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimebainisha kuwa kimejizatiti kikamilifu kusimamia utekelezaji wa Mradi wa Mageuzi ya Kiuchumi Katika Elimu ya Juu (HEET) ili kuwezesha uboreshwaji wa miundombinu ya elimu na hivyo kuwafikia wananchi wengi zaidi na kuchangia katika maendeleo endelevu.


Hayo yamebainishwa na mwenyekiti wa baraza la chuo hicho, Balozi Mwanaidi Maajar wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa usimamizi wa ujenzi wa majengo 21 ya chuo hicho utakaogharimu shilingi bilioni 110 zilizotolewa na Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad