Serikali Yatoa Tena Tahadhari Kipindi cha Mvua Kubwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Serikali Yatoa Tena Tahadhari Kipindi cha Mvua Kubwa


Ili kuepuka au kupunguza Madhara ya Kiafya yanayoweza kuletwa na mvua kubwa au mafuriko, Wizara ya Afya imetoa wito kwa Wananchi kukaa mbali na mitaro ya maji, nguzo za umeme, kuta za nyumba na maeneo mengine hatarishi

Pia, Kutoruhusu Watoto kucheza ndani au karibu na maji ya mafuriko, kutojaribu kuogelea, kutembea au kuendesha gari kwenye maji. Wananchi wanatakiwa kuweka vizuia maji mfano mifuko ya mchanga katika kuta za nje ya nyumba na maeneo ya wazi ya ikiwemo kwenye milango lakini wasipange mifuko ya mchanga kwa kuegemeza katika kuta za nyumba

Kutokana na mvua zinazoendelea, Mdau hali ya Mazingira ipoje Mtaani kwako?

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad