Simba Wanamtaka Kocha wa Klabu ya USM Alger, Waanza Mazungumzo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Simba Wanamtaka Kocha wa Klabu ya USM Alger, Waanza Mazungumzo

Klabu ya Simba imefanya mazungumzo rasmi na aliyekuwa Kocha wa Klabu ya USM Alger, Abdelhak Benchikha ili kuona iwapo kutakuwa na uwezekano wa kipata huduma yake.


Simba sasa inasaka kocha mpya kabla ya kuanza kwa michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi kufuatia kumtimua aliyekuwa kocha wao, Roberto Oliveira 'Robertinho' raia wa Brazil baada ya kipigo cha bao 5-1 kutoka kwa Yanga.


Benchikha ambaye ni raia wa Algeria ndiye alikuwa mwiba kwa Profesa Nasreddine Nabi na zyanga msimu uliopita baada ya kufanikiwa kushinda na kunyakua kombe la Shirikisho Afrika wakati wa fainali baina ya timu hizo, baada ya kulingana idadi ya mabao na mshindi akaamriwa kwa kanuni.


• CAF Confederation Cup

• CAF Super Cup


Makocha wengine wanaotajwa ni Sven Vandenbroeck na Didier Gomes Derosa ambao waliwahi kuifundisha Simba SC kwa mafanikio hapo nyuma.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad