AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Mstaafu wa Kenya, #UhuruKenyatta ameiambia Serikali iliyoko Madarakani iache kuulaumu Utawala wake kwa kushindwa kutimiza malengo iliyowaahidi Wananchi
Uhuru amesema “Kila mara Mtu anaposhindwa kufanya anachopaswa kufanya, analaumu Serikali iliyopita. Huu mwenendo hata kama Mke amekataa kujifungua, tutalaumiwa sisi, lakini tumezoea hili,”
Mapema Mwezi huu, Waziri wa Fedha, Profesa Njuguna Ndung’u aliilaumu Serikali iliyopita kwa chanzo cha gharama kubwa za Maisha. Wiki iliyopita, Waziri wa Uchukuzi, Kipchumba Murkomen naye aliilaumu Serikali iliyopita kwa Ujenzi wa Paa linalovuja katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa #JomoKenyatta
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK