Uhuru Kenyatta: Serikali ya RUTO Iache Kulaumu Serikali iliyopita, Wafanye Kazi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Uhuru Kenyatta, ruto

Rais Mstaafu wa Kenya, #UhuruKenyatta ameiambia Serikali iliyoko Madarakani iache kuulaumu Utawala wake kwa kushindwa kutimiza malengo iliyowaahidi Wananchi

Uhuru amesema “Kila mara Mtu anaposhindwa kufanya anachopaswa kufanya, analaumu Serikali iliyopita. Huu mwenendo hata kama Mke amekataa kujifungua, tutalaumiwa sisi, lakini tumezoea hili,”

Mapema Mwezi huu, Waziri wa Fedha, Profesa Njuguna Ndung’u aliilaumu Serikali iliyopita kwa chanzo cha gharama kubwa za Maisha. Wiki iliyopita, Waziri wa Uchukuzi, Kipchumba Murkomen naye aliilaumu Serikali iliyopita kwa Ujenzi wa Paa linalovuja katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa #JomoKenyatta


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad