Yanga, Simba kukipiga siku moja Klabu Bingwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Yanga, Simba kukipiga siku moja Klabu Bingwa


Wakati mzunguko wa kwanza wa Hatua ya Makundi ukianza kwa vilabu vya Yanga na Simba kucheza kwa siku tofauti, mechi zao za pili vilabu hivyo vikongwe nchini vitakipiga siku moja.


Yanga anatarajia kuianza kampeni yake ya kutoboa Makundi ya Klabu Bingwa hapo kesho Novemba 24, 2023 ugenini dhidi ya CR Belouzdad huku Simba akicheza nyumbani kesho kutwa Jumapili dhidi ya ASEC Mimosas.


Mechi zao za pili zitapigwa Desemba 2, 2023 ambapo Simba atakuwa ugenini dhidi ya Jwaneng Galaxy majira ya saa 10:00 jioni huku Yanga akimkaribisha nyumbani Al Ahly siku hiyohiyo majira ya saa 1:00 usiku.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad