AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha baada ya gari la abiria la kampuni ya Batco linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Mahaha wilayani Magu linadaiwa kusombwa na maji mapema asubuhi wakati dereva akijaribu kuvuka daraja la Mto Simiyu.
Afisa Habari wa wilaya ya Magu amekiri kutokea kwa ajali hiyo na kwamba uongozi upo njiani kuelekea eneo la tukio.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK