Basi la Batco lapata ajali, watu kadhaa wahofia kufariki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Basi la Batco lapata ajali, watu kadhaa wahofia kufariki


Watu kadhaa wanahofiwa kupoteza maisha baada ya gari la abiria la kampuni ya Batco linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Mahaha wilayani Magu linadaiwa kusombwa na maji mapema asubuhi wakati dereva akijaribu kuvuka daraja la Mto Simiyu.


Afisa Habari wa wilaya ya Magu amekiri kutokea kwa ajali hiyo na kwamba uongozi upo njiani kuelekea eneo la tukio.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad