Diamond Platnumz Alivyoporwa Kofia na Wagogo wa Dodoma, Akasirika Vibaya na Kugoma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Diamond Platnumz Alivyoporwa Kofia na Wagogo wa Dodoma, Akasirika Vibaya na Kugoma

Supastaa wa Bongo Fleva na CEO wa WCB, Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz akiwa mkoani Dodoma kwenye shamra shamra za Wasafi Festival alitembelea moja ya duka la Simu mkoani hapo, sasa wakati akiondoka aliibiwa kofia yake hadhara ambapo kitendo hicho kilionekana kimemkwaza.

Diamond baadae alighairi kuondoka mpaka apate kofia hiyo, alitoa sharti la kutafutwa kwa kofia hiyo na mmoja wa walinzi wake mpaka baadae ilipopatikana.

Kofia hiyo imeonekana kuwa na thamani ya dola 38 sawa na shilingi 5,800 za Kenya na 96,000 za Tanzania.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad