AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shirika la Bima la Taifa (NIC) leo Desemba 18, 2023 limekabidhi mfano wa hundi ya malipo kwa mchezaji bora wa mwezi Novemba 2023 kwa klabu ya Yanga, Pacome Zouzoua yenye thamani ya Tsh 4,000,000/=.
Hundi hiyo imekabidhiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa NIC Ndg Kaimu Abdi Mkeyenge.
NIC ndio wadhamini wa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa klabu hiyo (NIC Player Month).
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK